Mahakama ya kuu jijini Nairobi imesikiliza kesi ya ufisadi inayomkabili aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya kitaifa ya Ardhi (NLC), Prof Mohammad Swazuri, pamoja na washukiwa wengine...
Rais William Ruto amewaagiza wanafunzi wote wa gredi ya 10 ambao hawana karo ama sare za shule kuhakikisha wanaripoti shuleni kuanzia hapo kesho siku ya Ijumaa....
Watu saba wanazuiliwa na maafisa wa polisi katika eneo la Rabai kaunti ya Kilifi baada ya kukamatwa kwa madai ya kufanya uchawi katika kijiji cha Buni,...
Mbunge wa Kilifi Kaskazini Owen Baya amesema kunahaja ya serikali kuu kuhusisha maoni ya umma katika suala la raslimali za madini kabla ya kuruhusu waekezaji kuanza...
Waziri wa elimu nchini Migos Ogamba ameonya wakuu wa shule wanaolazimisha wazazi kununua sare katika maduka maalum. Waziri Ogamba alisema hali hiyo inakiuka kaununi zilizowekwa na...
Serikali imehakikishia wakaazi wa kaunti 23 nchini ambazo zinakabiliwa na makali ya ukame kwamba inachakula cha kutosha cha kuwawezesha kukabiliana na makali ya njaa. Akizungumza katika...
Mbunge wa Embakasi Mashariki Babu Owino amekosoa uongozi wa Kinara wa Chama cha ODM Dkt Oburu Oginga na kumtaka kuukabidhi uongozi wa Chama hicho kwake. Owino...
Serikali kuu imesema imefikia asilimia 70 ya wanafunzi wanaojiunga na shule za gredi ya 10 kote nchini ili kuhakikisha hakuna wanafunzi anasilia nyumbani. Waziri wa usalama...
Maafisa wa usalama mjini Malindi kaunti ya Kilifi wamewakamata washukiwa 18 kwenye msako uliolenga magenge ya kihalifu yaliyokuwa yakiwahangaisha wakaazi wa eneo hilo. Oparesheni hiyo ilifanyika...
Mamlaka ya Kitaifa ya Usafiri na Usalama barabarani, NTSA, imetoa tahadhari ya kiusalama ikiwataka madereva na watumiaji wengine wa barabara kuwa waangalifu kutokana na mvua kubwa...