Jaji mkuu mstaafu David Maraga ameishtumu serikali ya kitaifa kwa kuendeleza ufisadi kupitia miradi hewa nchini. Akizungumza wakati wa mikutano yake ya kisiasa katika kaunti ya...
Mahakama Kuu imekataa kutoa amri ya muda yani Conservatory Order ili kuzuia mpango wa ubinafsishaji wa taasisi za umma ikiwemo Shirika la Kenya Pipeline kufuatia ombi...
Kesi ya ulaghai wa shilingi milioni 1.2 inayomkabili mshukiwa Emmanuel Kithi imewasilishwa katika Mahakama ya Kilifi. Mshukiwa Emmanuel Kithi anadaiwa kumlaghai mlalamishi Moses Mwafondo kwa kumuahidi...
Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini EACC imefanikiwa kurejesha mali ya umma yenye thamani ya shilingi milioni 281 katika kaunti ya Mombasa. Katika taarifa...
Naibu Kinara wa Chama cha Jubilee Dkt Fred Matiangi ameitaka serikali kuwajibika kikamilifu kwa kuhakikisha taifa linazingatia usalama wa wananchi. Matiangi alisema jinsi hali ilivyo kwa...
Kesi ya mauaji bila kukusudia inayomhusisha Mhubiri tata Paul Mackenzie na wenzake imechukua mkondo mpya baada ya mmoja wa washtakiwa kuingia katika makubaliano ya kukiri makosa...
Kamati ya elimu katika bunge la kitaifa limekashfu vikali hatua ya Katibu katika Wizara ya elimu nchini Julius Bitok, kushindwa kufika mbele ya Kamati hiyo kujadili...
Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen amewaonya wakenya wanaoendeleza siasa za vurugu, fujo na ukabili, akisema watu hao wataandamwa na mkono wa sheria. Waziri Murkomen...
Idara ya ujasusi nchini NIS imetoa ripoti yake kuhusu suala la usalama na kuweka wazi kwamba zaidi ya wakenya elfu moja wanashiriki katika vita kwenye mataifa...
Serikali imesema imelipa bili zote ambazo hazikuwa zimelipwa kwa Wanakandarasi wa barabara, ambazo zimefikia shilingi bilioni 177 za miradi ya tangu mwaka wa 2020. Naibu Rais...