Mahakama ya Kilifi imehairisha kesi ya mshukiwa wa wizi wa kimabavu Joel Kalume Diga hadi tarehe 30 mwezi Machi mwaka huu ambapo kesi hiyo itasikizwa. Hakimu...
Iran inatarajiwa kumtangaza kiongozi mkuu mpya atakayechukua nafasi ya Ayatollah Ali Khamenei aliyeuawa wiki moja iliyopita kufuatia mashambulizi ya Marekani na Israel. Mmoja wa wajumbe wa...
Waziri wa mambo ya nje wa taifa la China Wang Yi ametahadharisha kuhusu hatari ya China kutokuelewana na Marekani, akisema hatua hiyo itapelekea kushughudiwa kwa migogoro...
Seneta Maalum Miraj Abdillahi amewataka wakaazi wa kaunti ya Mombasa kuchukua tahadhari ya mapema na kujiepusha na athari za mvua kubwa ambayo tayari zimesababisha vifo na...
Bunge la kaunti ya Mombasa limeidhinisha mswada wa mfuko wa mzunguko wa kaunti ya Mombasa wa mwaka 2025, hatua inayolenga kuimarisha upatikanaji wa mikopo nafuu kwa wafanyabiashara...
Katibu katika Wizara ya usalama wa ndani Raymond Omollo ametangaza nyongeza ya asilimia 40 kwa mishahara ya maafisa wa polisi ambayo itaanza kutekelezwa mwezi Julai mwaka...
Waziri wa Elimu nchini Julius Migos Ogamba amevitaka vyuo vikuu nchini kuanza maandalizi ya mapema kwa ajili ya kupokea wanafunzi watakaohitimu chini ya mtaala wa CBE,...
Kwa siku ya tano mfululizo Jeshi la Israel kwa ushirikiano na Marekani, limefanya mashambulio mapya katika ardhi ya Iran dhidi ya kile imekitaja kuwa kuangamiza kabisa...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya kitaifa ya ardhi Dkt Mohammed Swazur pamoja na wenzake 13 wanatarajiwa kufikishwa Mahakamani siku ya Jumatano tarehe 4 mwezi Machi mwaka...
Mahakama ya Kilifi imeagiza kukamatwa kwa washukiwa watatu akiwemo Wakili Devison Liano Kazungu, ambaye amekuwa akihudumu bila vibali halali pamoja Karani wake Hersi Mathius Kahindi na Lawrence...