Idadi kubwa ya familia zilizokuwa zikiishi karibu na Mto Tana katika kaunti ya Tana river zimeanza kuhama ili kutafuta maeneo salama ya kuishi kufuatia athari za...
Wakfu wa George Kithi unaoimarisha jamii kupitia kufadhili wa masomo ya wanafunzi werevu wanaokabiliwa na changamoto za ukosefu wa karo, misaada ya matibabu kwa wagonjwa kutoka...
Mashirika mbali mbali ya kuangazia maslahi ya kijamii wameendelea kukongamana mjini Malindi katika kaunti ya Kilifi kujadili masuala ya haki na sheria miongoni mwa makundi tofauti...
Wakaazi pamoja na Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu katika Kaunti ya Kilifi wameandamana wakitaka idara ya usalama kuharakisha uchunguzi kuhusu mauaji ya kinyama ya mtoto...
Bunge la kitaifa linatarajiwa kujadili hoja ya makadirio ya bajeti ya kitaifa ya mwaka wa 2026/2027 ya shilingi trilioni 4.79. Kiongozi wa wengi katika bunge la...
Bwiwi la simanzi limeghubika wakaazi wa kijiji cha Kwa Nzai eneo la Mwezang’ombe kaunti ya Kilifi mapema leo baada ya msichana mwenye umri wa miaka 7...
Walimu tarajali wa sekondari msingi kaunti ya Kilifi wameandamana kuishinikiza serikali kuu kupitia tume ya kuajiri walimu nchini,TSC kutekeleza agizo la mahakama la kuwapa ajira ya...
Taasisi ya utafiti wa matibabu nchini KEMRI imezindua mradi unaolenga kuchunguza athari za chembechembe ya sumu ya Aflatoxin na athari za mabadiliko ya tabia nchi miongoni...
Idara ya utabiri wa hali ya hewa kanda ya Pwani imetoa tahadhari ya kushuhudiwa kwa mvua kubwa, kuanzia wiki ijayo ya milimita 20 kwa saa 24....
Tume ya huduma ya Mahakama nchini (JSC) imemteua Jaji Mohammed Abdullahi Warsame kuwa Jaji wa Mahakama ya Upeo. Mwenyekiti wa Tume hiyo ambaye pia ni Jaji mkuu nchini Martha...