Mahakama ya Kilifi imemnyima dhamana mshukiwa wa wizi wa kimabavu Amani Mohamed ili kutoa nafasi kwa maafisa wa upelelezi kukamilisha uchunguzi wao. Hakimu wa Mahakama hiyo...
Katika kijiji cha Roka kumekuwa na pilkapilka za ujenzi wa nyumba ya kisasa ambao umetokea kivutio cha wengi kwani unafuatiliwa sana katika mitandao ya kijamii. Shughuli...
Visa vya mauaji ya Wazee kwa tuhma za uchawi vimetajwa kupungua kwa asilimia kubwa. Mwenyekiti wa kituo cha Kaya Godoma Emmanuel Katana amesema eneo la Mrima...
Mamlaka ya Kilimo na Chakula nchini AFA, imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha taifa linaboresha mazao yake na kuchangia uzalishaji wa chakula nchini. Hatua hii imechangia zaidi...
Afisa wa usajili wa tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC eneo bunge la Kilifi Kaskazini kaunti ya Kilifi , John Mwawasi amesema wanapania kusajili...
Wafanyabiashara wa soko la kwa Charo wa mae mjini kilifi kaunti ya Kilifi, wanaitaka serikali ya kaunti kuwaondoa wachuuzi wanaoendeleza biashara zao nje ya Soko hilo....
Mzozo kuhusu ujenzi wa barabara eneo la Jaribuni katika kaunti ya Kilifi unanukia tena miezi kadhaa baada ya wakaazi eneo hilo kufanya maandamano kulalamikia hali mbaya...
Mahakama ya Kilifi imemuachilia kwa dhamana ya shilingi laki tano na mdhamini wa kiasi sawa na hicho George Mweni Muramba anayekabiliwa na shtaka la unyakuzi wsa...
Zaidi ya watalii 600 wamewasili katika bandari ya Mombasa baada ya meli ya kifahari ya Azamara Onward kutia nanga katika bandari hiyo. Meli hiyo iliyotokea bandari...
Maafisa wa polisi katika kaunti ya Kwale wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio la mauaji ya Wanawake wanne, ndani ya vyumba za wageni katika meneo ya Samburu, Taru...