Maafisa wa Polisi katika kituo cha Mtwapa katika kaunti ya Kilifi wamefanikiwa kumkamata mshukiwa mmoja wa wizi na kunasa mali mbalimbali zinazoshukiwa kuibwa. Kukamatwa kwa mshukiwa...
Kundi la Mombasa Republican Council –MRC limeshinikiza idara ya usalama kuwaachilia huru wanachama wake waliokamatwa. MRC inadai hatua hiyo inakiuka uamuzi wa Mahakama uliotambua kundi hilo...
Idara ya usalama kaunti ya Kilifi inapoendeleza mikakati ya kukabiliana na magenge ya kihalifu maarufu ‘Mawoza’, visa vya watu kuvamiwa vingali vinaendelea kushuhudiwa mjini Malindi kaunti...
Gavana wa kaunti ya Kirinyaga Ann Waiguru ameomba msamaha kwa niaba ya serikali kwa wakaazi wa Mlima Kenya kufuatia kubanduliwa mamlakani kwa aliyekuwa naibu rais Rigathi...
Licha ya Afrika kuwa na takribani asilimia 60 ya ardhi isiyotumika kwa shughuli za Kilimo bado inakabiliwa na pengo kubwa la ufadhili wa Kilimo kwa zaidi...
Mahakamani ya Shanzu imeagiza kuzuiliwa kwa siku 14 kwa mshukiwa wa mauaji ya mtoto Keziah Matuki, aliyekuwa na umri wa miaka 7. Mahakama imetoa agizo hilo...
Kenya na Ufaransa zimetia saini makubaliano ya kuanzisha ubia wa usafirishaji na maendeleo ya miundombinu ya bandari inayokadiriwa kuwa takribani shilingi bilioni 104. Makubaliano mengine yanahusu...
Idara ya usalama kaunti ya Kilifi imethibitisha kumtia nguvuni mshukiwa wa mauaji ya mtoto msichana Keziah Matuki, aliyekuwa na umri wa miaka 7 kutoka kijiji cha...
Ombi la kikatiba limewasilishwa katika Mahakama Kuu ya Kiambu kupinga uhalali wa Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA), mifumo ya afya ya kidijitali na mipango ya...
Mahakama ya Kilifi imemhukumu kifungo cha miaka 25 gerezani mwanaume mmoja ambaye ni mzee wa umri wa miaka 69 baada ya kupatikana na hatia ya kumnajisi...