Uchunguzi wa ajali ya ndege aina ya Helkopta iliyowaua watu sita akiwemo Mbunge wa Emurua Dikirr Johana Ng’eno umeanza rasmi huku wachunguzi wakifika katika eneo la...
Inspekta Jenerali wa Polisi nchini Douglas Kanja amesema uchunguzi unaendelea ili kuwatambua mawakala matapeli waliowahadaa wakenya kujiunga na jeshi la Urusi kupigana vita dhidi ya Ukraine....
Serikali imetahadharisha wakenya kuwa makini hasa wanapoahidiwa ajira katika mataifa ya ughaibuni ili kuepuka kulaghaiwa au kujikuta katika hali hatarishi. Katibu katika Wizara ya Leba nchini...
Mkurugenzi mkuu wa mashtaka ya umma, DPP, amefunga rasmi kesi ya nne na ya mwisho inayohusiana na mauaji ya halaiki ya watu katika msitu wa Shakahola,...
Idara ya usalama nchini imethibitisha kwamba baadhi ya mikutano ya kisiasa inayoandaliwa nchini, wahusika wamekuwa wakikosa kuwaarifu maafisa wa usalama. Msemaji wa idara ya polisi nchini...
Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC, imepiga marufuku matumizi ya simu za rununu kwenye eneo maalum la upigaji kura wakati wa zoezi la uchaguzi....
Tume ya huduma za Mahakama nchini JSC imetangaza kupokea maombi ya wakenya wanaotaka kujaza nafasi iliyowachwa wazi ya Jaji wa Mahakama ya Upeo Mohammed Ibrahim. Katika...
Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC inanuia kuongeza vituo vya kupigia kura hadi 55,393 katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 kutoka vituo 46,229 mwaka...
Mahakama ya Kilifi inatarajiwa kutoa hukumu ya kesi ya uharibifi wa msitu wa Arabuko Sokoke inayomkabili mwanaume wa umri wa miaka 53. Katika kesi hiyo, mshukiwa...
Serikali imesema imeanzisha mikakati maalum ya kuwanusuru Wakenya wanaodaiwa kulaghaiwa na mawakala bandia na kujiunga na jeshi la Urusi kupigana vita dhidi ya Ukraine. Katibu wa...