Halmashauri ya bandari nchini (KPA), imeimarisha ushirikiano wake na kampuni ya kimataifa ya usafirishaji kwa njia ya bahari, Maersk, katika juhudi za kuboresha huduma na kuongeza...
Kamishna wa kaunti ya Mombasa Mohamed Noor amewahakikishia wakaazi wa Mombasa usalama wa kutosha msimu huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhan kwa waislamu pamoja na mfungo...
Waumini wa Kanisa Katoliki pamoja na waumini wengine wa dini ya kikristo wameungana kote ulimwenguni kuadhimisha ibada ya Misa ya Jumatano ya majivu ishara ya kuanza...
Rais William Ruto na Gavana wa kaunti ya Nairobi Johnson Sakaja wametia saini makubaliano ya kihistoria ya ushirikiano kwa ajili ya kuboresha jiji la Nairobi. Mkataba...
Serikali ya kaunti ya Kilifi imefutilia mbali baadhi ya miradi iliyokwama ambayo ilikuwa imekabidhiwa Wanakandarasi na kushindwa kuitekeleza. Hii ni baada ya Mkaguzi mkuu wa hesabu...
Shirika la kutetea haki za binadamu la Vocal Africa limeeleza wasiwasi wake kuhusu kukamatwa na kuendelea kuzuiliwa kwa Mwabili Mwagodi, katika kituo cha polisi cha Bandari kaunti ya...
Kinara wa Chama cha Democratic Party (DP) Justine Muturi ameibua wasiwasi kuhusu uwezekano wa kuhitilafiana na sajili ya wapiga kura kufuatia makubaliano kati ya tume huru...
Ulimwengu unaadhimisha Siku ya Redio Duniani huku Wanahabari eneo la Pwani wakiungana na mataifa mengine ulimwenguni kusherehekea siku hiyo. Siku hii muhimu ya kutambua nafasi muhimu...
Serikali imetenga jumla ya shilingi bilioni mbili kwa ajili ya fidia ya ardhi na shilingi milioni 838 kwa kuhamisha wafanyabiashara katika eneo la Mtwapa ili kufanikisha...
Serikali inasema itawachukulia hatua walimu ambao walikosa kuweka wazi idadi ya wanafunzi shuleni mwao, ikibaini kwamba shule za humu nchini zina wanafunzi hewa laki tisa. Wizara...