Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini EACC imefanikiwa kurejesha mali ya umma yenye thamani ya shilingi milioni 281 katika kaunti ya Mombasa. Katika taarifa...
Naibu Kinara wa Chama cha Jubilee Dkt Fred Matiangi ameitaka serikali kuwajibika kikamilifu kwa kuhakikisha taifa linazingatia usalama wa wananchi. Matiangi alisema jinsi hali ilivyo kwa...
Kesi ya mauaji bila kukusudia inayomhusisha Mhubiri tata Paul Mackenzie na wenzake imechukua mkondo mpya baada ya mmoja wa washtakiwa kuingia katika makubaliano ya kukiri makosa...
Kamati ya elimu katika bunge la kitaifa limekashfu vikali hatua ya Katibu katika Wizara ya elimu nchini Julius Bitok, kushindwa kufika mbele ya Kamati hiyo kujadili...
Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen amewaonya wakenya wanaoendeleza siasa za vurugu, fujo na ukabili, akisema watu hao wataandamwa na mkono wa sheria. Waziri Murkomen...
Idara ya ujasusi nchini NIS imetoa ripoti yake kuhusu suala la usalama na kuweka wazi kwamba zaidi ya wakenya elfu moja wanashiriki katika vita kwenye mataifa...
Serikali imesema imelipa bili zote ambazo hazikuwa zimelipwa kwa Wanakandarasi wa barabara, ambazo zimefikia shilingi bilioni 177 za miradi ya tangu mwaka wa 2020. Naibu Rais...
Halmashauri ya bandari nchini (KPA), imeimarisha ushirikiano wake na kampuni ya kimataifa ya usafirishaji kwa njia ya bahari, Maersk, katika juhudi za kuboresha huduma na kuongeza...
Kamishna wa kaunti ya Mombasa Mohamed Noor amewahakikishia wakaazi wa Mombasa usalama wa kutosha msimu huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhan kwa waislamu pamoja na mfungo...
Waumini wa Kanisa Katoliki pamoja na waumini wengine wa dini ya kikristo wameungana kote ulimwenguni kuadhimisha ibada ya Misa ya Jumatano ya majivu ishara ya kuanza...