Mwanasiasa Stanley Kenga Karisa imejiunga rasmi na Chama cha DCP kinachoongozwa na Rigathi Gachagua. Kenga amejiunga na Chama hicho ili kugombea ubunge wa Magarini kaunti ya...
Familia moja eneo la Junju kaunti ya Kilifi inalilia haki baada mtoto wao kwa jina Anestine Dzidza Tunje mwanafunzi mwenye umri wa miaka 15 wa Gredi...
Mahakama ya Kilifi imemnyima dhamana mwanaume mmoja anayekabiliwa na shtaka la unajisi wa mtoto wa umri wa miaka 11 kisha kutishia kumuua iwapo angesema kuhusu kitendo...
Mahakama maalumu nchini Sudan Kusini inayosikiliza kesi ya uhaini, mauaji na dhulma za kibinadamu dhidi ya aliyekuwa makamu wa kwanza wa rais Riek Machar, imetupilia mbali...
Rais William Ruto amesisitiza kuwa serikali yake inawekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta muhimu za elimu na afya ili kuhakikisha maisha bora kwa wananchi. Akizungumza katika...
Wafanyibiashara wa kuuza matunda kaunti ya kilifi wanalalamikia kudorora kwa biashara zao kufuatia kupungua kwa matunda. Wakizungumza na Coco Fm wafanyibiashara hao walisema kwa sasa matunda...
Wadau wa sekta ya utalii eneo la Pwani wametoa wito kwa serikali kufungua anga ya Kenya kwa mashirika zaidi ya ndege za kimataifa, wakisema kuwa hatua...
Shirika la Kilifi Citizen Forum limekiri kwamba ukosefu wa ajira kwa vijana kaunti ya Kilifi ndio chanzo cha kuchipuka kwa visa vya mauaji ya wazee kwa...
Idara ya usalama kaunti ya Kilifi imewarai wakaazi kuwa waangalifu dhidi ya Wachungaji potovu waliojitokeza na kuwapotosha wananchi kwa misingi ya kidini. Afisa mkuu wa idara...
Zoezi endelevu la kusajili wapiga kura wapya limeanza rasmi kote nchini huku idadi kubwa ya vijana wakijitokeza katika zoezi katika maeneo mbalimbali nchini. Mjini Kilifi katika...