Bandari ya Mombasa imeendelea kuthibitisha nafasi yake kama lango kuu la biashara Afrika Mashariki baada ya kupokea kwa mara ya kwanza meli kubwa ya mizigo, ya...
Upasuaji wa maiti ya Kennedy Mutuku Nzuve afisa wa polisi aliyefariki nchini Haiti umebaini kuwa alifariki kutokana na majeraha yanayoambatana na ajali ya barabarani. Upasuaji wa...
Umoja wa upinzani umetangaza kwamba utaunga mkono mmoja wao ambaye atapambana na Rais William Ruto wakati wa uchaguzi mkuu ujao wa mwaka wa 2027. Viongozi wa...
Wahudumu wa pikipiki za umeme mjini Kilifi kaunti ya Kilifi wameandamana wakilalamikia mkanganyiko ulioibuka upande wa bei za kubadili batri pamoja na huduma za pikipiki hizo....
Rais mstaafu Uhuru Kenyatta amewarai wafuasi na wanachama wa Chama cha Jubilee kuwa na fikra pana katika kuwachagua viongozi walio na maono ya maendeleo ili kufanikisha...
Naibu wa rais Prof. Kithure Kindiki amesema uchumi wa nchi umeimarika kwa sasa ikilinganishwa na miaka ya nyuma. Akizungumza katika eneo la Wundanyi kaunti ya Taita...
Mkurugenzi mkuu wa shirika la kuangazia haki za ardhi nchini, Kenya Land Alliance KLA, Faith Alubbe amesema kuwa idadi kubwa ya wakaazi hasa wa mashinani wanakumbwa...
Utafiti uliyofanmywa na kampuni ya utafiti ya Infotrak umeonyesha wazi kwamba asilimia 57 ya wakenya wanasema kwamba taifa linaelekea mahali pabaya, asilimia 17 wakiridhishwa na mwelekeo wa...
Kutokana na kuongezeka kwa mafundisho ya itikadi potovu katika madhehebu mbalimbali nchini, sasa serikali imehimizwa kuanza kuwatathmini upya na kuwachunguza wachungaji wote nchini. Aliyekuwa Mwakilishi wadi...
Maafisa wa kukabiliana na dawa za kulevya Malindi katika kaunti ya Kilifi kwa ushirikiano na maafisa wa kitengo maalum cha oparesheni SOG kilicho katika kizuizi cha...