Tume ya uchaguzi nchini Cameroon imemtangaza Rais Paul Biya mwenye umri wa miaka 92 kama mshindi wa uchaguzi mkuu wa urais uliyofanyika Oktaba 12 mwaka huu....
Maelfu ya vijana kutoka wadi mbalimbali eneo bunge la Kilifi kazkazini kaunti ya Kilifi wamehudhuria zoezi la kutibitisha majina ya wale waliofaulu katika mradi wa NYOTA....
Tatizo la uhaba wa maji katika kaunti ya Kilifi limeendelea kugonga vichwa vya habari, bila ya kupata suluhu la tatizo hilo la mda mrefu. Hii ni...
Mahakama ya Kilifi imemhukumu kifungo cha mwaka mmoja gerezani mwanaume wa umri wa miaka 30 kwa kosa la kuvamia na kumjeruhi mwenzake. Akitoa hukumu hiyo, Hakimu...
Mahakama kuu imesitisha kwa mda sheria tata ya kudhibiti matumizi ya mtandao ya mwaka wa 2025 pamoja na matumizi mabaya ya kompyuta, iliyofanyiwa marekebisho bungeni na...
Muungano wa upinzani nchini umekashfu vikali matamshi yaliyotolewa na Gavana wa Nyeri Mutahi Kahiga dhidi ya kifo cha Hayati Raila Odinga. Muungano huo kupitia Msemaji wao...
Mkurugenzi wa Afya nchini Dkt Patrick Amoth amesema asilimia 80 ya wakenya wanaishi na magonjwa ya Meno kutokana na kukosa kuzingatia afya ya meno kikamilifu. Dkt Amoth alitaja uvutaji...
Rais William Ruto ametangaza siku 7 za taifa kuomboleza kifo cha Raila Amollo Odinga pamoja na bendera ya taifa kupeperushwa nusu mlingoti katika ofisi zote za...
Waziri wa Elimu nchini Julius Migos amesema ana matumaini kwamba mgomo wa Wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma kote nchini utasitishwa hivi karibu. Waziri Migosi alisema...
Zaidi ya wajumbe 50 kutoka mataifa mbalimbali ulimwenguni walikongamana jijini Mombasa kuangazia masuala mbalimbali ikiwemo uchumi samawati, Uvumbuzi na jinsi ya kulinda mazingira ya bahari katika...