Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (ODPP) imehitimisha rasmi kesi yake dhidi ya mauaji ya Shakahola, ambapo Mhubiri tata Paul Mackenzie na wenzake 35 wanakabiliwa...
Rais William Samoei Ruto amezindua malipo ya shilingi bilioni 4.4 kwa ajili ya gharama ya matibabu ya wakenya milioni 2.2 wasiojiweza chini ya mpango wa bima...
Tume ya kitaifa ya huduma ya polisi (NPSC) hatimaye imetangaza usajili wa maafisa 10,000 wa polisi, na kumaliza mzozo wa muda mrefu kati yake na huduma...
Polisi mjini Mombasa wameanzisha uchunguzi kufuatia kifo cha mshukiwa mmoja aliyefariki muda mfupi baada ya kukamatwa na kupelekwa katika kituo kikuu cha polisi cha Central jijini...
Rais William Ruto amesema kuwa uchumi wa taifa umeimarika hata zaidi tangu alipoingia mamlakani. Akizungumza na vyombo vya habari rais Ruto alidokeza kuwa mwaka wa 2022...
Shughuli za masomo katika vyuo vikuu vya umma nchini zinaendelea kuathirika huku mgomo wa kitaifa wa wahadhiri ukiingia siku ya tatu leo. Katibu mkuu wa chama...
Halmashauri ya bandari nchini KPA imetangaza mpango wa kuboresha huduma katika kivuko cha feri cha Likoni, unaojulikana kama “Traffic Circulation Management Plan” unaolenga kupunguza msongamano, kuongeza usalama, na kuboresha...
Naibu Chifu wa eneo la Sabaki eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi Rachael Malingi amewahimiza kina mama wajawazito kuhakikisha wanafika hospitalini ili kujifungua salama. Akizungumza...
Benki ya KCB kwa ushirikiano na bebki ya Afrexim zimeingia kwenye mkataba wa maelewano unaolenga kutoa usaidizi wa kuwezesha kifedha na kibiashara kwa wawekezaji wanaoendesha shughuli...
Muungano wa Wahadhiri wa vyuo vikuu nchini (UASU) wameanza mgomo wao licha ya Hazina ya kiaifa kutoa shilongi bilioni 2.5 kwa ajili ya kutekeleza awamu ya...