Ni afueni kwa wakulima wa majani Chai baada ya Waziri wa Kilimo nchini Mutahi Kagwe kuzindua soko la mauzo ya Chai maalum ya Othodox katika mnada...
Uchunguzi wa miili iliyofukuliwa kutoka kwa makaburi kwenye kijiji cha Kwa Binzaro kaunti ya Kilifi umeonyesha kwamba baadhi ya miili hiyo ni ya watu waliouawa kimakusudi...
Mapato ya kilimo cha mboga na matunda yalipungua hadi shilingi bilioni 136.6 ikilinganishwa na shilingi bilioni 156.7 zilizonakiliwa mwaka jana. Mapato ya majani chani pia yalipungua...
Rais William Ruto amesema Kenya na Marekani zitasaini mkataba wa kibiashara ifikapo mwisho wa mwaka huu. Rais Ruto anatarajiwa pia kushinikiza Washington kuongeza mkataba wake wa...
Chama cha wanasheria nchini (LSK), tawi la Mombasa, kimetaka kusimamishwa kazi mara moja kwa mkuu wa kituo cha polisi cha Central jijini Mombasa pamoja na maafisa...
Mahakama ya Kilifi imemhukumu kifungo cha miaka miwili gerezani mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 36 kwa kosa la kumpiga bibi yake na kumsababishia majeraha. Akitoa...
Baraza kuu la vyombo vya habari nchini MCK limeshinikiza kutengwa kwa shilingi milioni 1.5 ambazo zitatumika kuanzisha mfumo wa ukaguzi wa masuala ya maadili utakaotumia akili...
Mkuu wa sheria ameiambia mahakama kuwa hana ufahamu kuwa afisa wa polisi Benedict Kabiru alifariki dunia nchini Haiti, kinyume na matamshi ya rais William Ruto katika...
Rais wa Malawi Lazarus Chakwera amekubali kushindwa katika uchaguzi wa wiki jana, akisema katika hotuba yake kwa taifa kwamba ni wazi mpinzani wake Peter Mutharika alikuwa...
Mgombea wadhifa wa ubunge katika eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi kupitia chama cha DCP Furaha Chengo Ngumbao almaarufu Kalama Wehu, amekana kupokea maagizo ya...