Serikali ya Marekani imetoa orodha ya wakenya 15 ambao watafurushwa nchini humo. Wakenya hawa ni wale waliokabiliwa na kesi mbalimbali ikiwemo wizi wa mabavu, ulanguzi wa...
Gavana wa kaunti ya Kilifi Gedion Mung’aro ametoa hutuba kuhusu mustakabili wa kaunti akiangazia masuala mbalimbali, huku suala la afya likipewa kipau mbele. Hutuba hiyo iliyodumu...
Maafisa wa upelelezi wa makosa ya jinai DCI eneo la Nyali kaunti ya Mombasa wamemkamata mshukiwa wa utapeli anayedaiwa kuwalaghai wageni wanaotafta nyumba za kukodisha kupitia...
Wamiliki hoteli zilizofungwa kaunti ya Kilifi wameshinikizwa kuhakikisha wanaziuza kwa wawekezaji wengine iwapo wameshindwa kurejesha huduma katika hoteli hizo. Akizungumza na vyombo vya habari gavana wa kaunti...
Tume ya kitaifa ya kutetea haki za kibindamu nchini KNCHR imesema zaidi ya watu 57 walipitia mateso na hata maafa katika hali tatanishi, mwaka huu wa...
Wanaharakati wa kutetea haki za kibinadamu nchini Kenya yameitaka Serikali ya Tanzania kusikiliza matakwa ya wananchi wake badala ya kuwatishia kukabiliana nao kikamilifu wakati wakipanga kufanya...
Chama cha UDA kimetangaza kumuunga mkono aliyekuwa Spika wa bunge la kaunti ya Kilifi Jimmy Kahindi, kugombea wadhfa wa ugavana wa kaunti ya Kilifi katika uchaguzi...
Mahakama ya Kilifi imemhukumu kifungo cha miaka 7 gerezani mwanaume mmoja aliyepatikana na hatia kwa kesi ya biashara ya meno za ndovu baada ya uchunguzi na...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amependekeza kupunguzwa kwa bajeti ya umoja huo ya mwaka ujao kwa dola milioni 577, hatua ambayo itapunguza asilimia...
Viongozi wa Chama cha ODM wametaka ajenda 10 zilizotiwa saini kati ya Rais William Ruto na Hayati Raila Odinga kutekelezwa kikamilifu kabla ya uchaguzi mkuu wa...