Rais William Ruto ametangaza siku 7 za taifa kuomboleza kifo cha Raila Amollo Odinga pamoja na bendera ya taifa kupeperushwa nusu mlingoti katika ofisi zote za...
Waziri wa Elimu nchini Julius Migos amesema ana matumaini kwamba mgomo wa Wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma kote nchini utasitishwa hivi karibu. Waziri Migosi alisema...
Zaidi ya wajumbe 50 kutoka mataifa mbalimbali ulimwenguni walikongamana jijini Mombasa kuangazia masuala mbalimbali ikiwemo uchumi samawati, Uvumbuzi na jinsi ya kulinda mazingira ya bahari katika...
Wakenya ambao bado hawajachukua Vitambulisho vya kitaifa wamehimizwa kutembelea Ofisi za Msajili wa Vitambulisho na vyeti vya kuzaliwa ili kutuma maombi ya kupata stakabadhi hiyo muhimu...
Rais William Ruto amevunja kimya chake na kuweka wazi kuhusu mkutano wa faraja uliandaliwa kati yake na Mwenyekiti wa chama cha KANU Gedion Moi katika Ikulu...
Serikali imetangaza kwamba zaidi ya Vitambulisho vya kitaifa elfu 400 kote nchini havijachukuliwa na wenyewe licha ya kutuma maombi ya kutafuta stakabadhi hiyo muhimu ya kitaifa....
Serikali imewahimiza wakenya kutumia fursa ya siku ya kitaifa ya mapumzo ya Mazingira Oktoba 10, na kuhakikisha wanajitokeza kwa wingi na kupanda miti ili kudhibiti mabadiliko...
Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC iliwaidhinishwa wagombea wa nafasi mbalimbali za changuzi ndogo zitakazoandaliwa Novemba 27 mwaka huu kabla ya kuanza rasmi kampeni...
Mashirika ya Kenya ya kupigania amani katika jamii yameendelea kujizolea sifa na umaarufu katika taifa jirani la Tanzania baada ya kutuzwa kwenye mashindano ya mpango wa...
Mwenyekiti wa Chama cha upinzani nchini Tanzania cha Wananchi CUF Prof Ibrahim Lipumba ametoa wito wa mchakato wa uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi huu nchini humo kutoingiliwa...