Wakenya ambao bado hawajachukua Vitambulisho vya kitaifa wamehimizwa kutembelea Ofisi za Msajili wa Vitambulisho na vyeti vya kuzaliwa ili kutuma maombi ya kupata stakabadhi hiyo muhimu...
Rais William Ruto amevunja kimya chake na kuweka wazi kuhusu mkutano wa faraja uliandaliwa kati yake na Mwenyekiti wa chama cha KANU Gedion Moi katika Ikulu...
Serikali imetangaza kwamba zaidi ya Vitambulisho vya kitaifa elfu 400 kote nchini havijachukuliwa na wenyewe licha ya kutuma maombi ya kutafuta stakabadhi hiyo muhimu ya kitaifa....
Serikali imewahimiza wakenya kutumia fursa ya siku ya kitaifa ya mapumzo ya Mazingira Oktoba 10, na kuhakikisha wanajitokeza kwa wingi na kupanda miti ili kudhibiti mabadiliko...
Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC iliwaidhinishwa wagombea wa nafasi mbalimbali za changuzi ndogo zitakazoandaliwa Novemba 27 mwaka huu kabla ya kuanza rasmi kampeni...
Mashirika ya Kenya ya kupigania amani katika jamii yameendelea kujizolea sifa na umaarufu katika taifa jirani la Tanzania baada ya kutuzwa kwenye mashindano ya mpango wa...
Mwenyekiti wa Chama cha upinzani nchini Tanzania cha Wananchi CUF Prof Ibrahim Lipumba ametoa wito wa mchakato wa uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi huu nchini humo kutoingiliwa...
Mwanasiasa Stanley Kenga Karisa imejiunga rasmi na Chama cha DCP kinachoongozwa na Rigathi Gachagua. Kenga amejiunga na Chama hicho ili kugombea ubunge wa Magarini kaunti ya...
Familia moja eneo la Junju kaunti ya Kilifi inalilia haki baada mtoto wao kwa jina Anestine Dzidza Tunje mwanafunzi mwenye umri wa miaka 15 wa Gredi...
Mahakama ya Kilifi imemnyima dhamana mwanaume mmoja anayekabiliwa na shtaka la unajisi wa mtoto wa umri wa miaka 11 kisha kutishia kumuua iwapo angesema kuhusu kitendo...