Mahakama maalumu nchini Sudan Kusini inayosikiliza kesi ya uhaini, mauaji na dhulma za kibinadamu dhidi ya aliyekuwa makamu wa kwanza wa rais Riek Machar, imetupilia mbali...
Rais William Ruto amesisitiza kuwa serikali yake inawekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta muhimu za elimu na afya ili kuhakikisha maisha bora kwa wananchi. Akizungumza katika...
Wafanyibiashara wa kuuza matunda kaunti ya kilifi wanalalamikia kudorora kwa biashara zao kufuatia kupungua kwa matunda. Wakizungumza na Coco Fm wafanyibiashara hao walisema kwa sasa matunda...
Wadau wa sekta ya utalii eneo la Pwani wametoa wito kwa serikali kufungua anga ya Kenya kwa mashirika zaidi ya ndege za kimataifa, wakisema kuwa hatua...
Shirika la Kilifi Citizen Forum limekiri kwamba ukosefu wa ajira kwa vijana kaunti ya Kilifi ndio chanzo cha kuchipuka kwa visa vya mauaji ya wazee kwa...
Idara ya usalama kaunti ya Kilifi imewarai wakaazi kuwa waangalifu dhidi ya Wachungaji potovu waliojitokeza na kuwapotosha wananchi kwa misingi ya kidini. Afisa mkuu wa idara...
Zoezi endelevu la kusajili wapiga kura wapya limeanza rasmi kote nchini huku idadi kubwa ya vijana wakijitokeza katika zoezi katika maeneo mbalimbali nchini. Mjini Kilifi katika...
Naibu Rais Prof Kithure Kindiki ameagiza maafisa wa serikali na wale wa kaunti kuja pamoja na kutatua changamoto zinazoikabili mamlaka ya afya ya jamii nchini SHA...
Katibu Mkuu wa chama cha Jubilee Jeremiah Kioni amedai kuwa aliyekuwa naibu Rais Rigathi Gachagua anafanya kazi na rais William Ruto kisiri. Kulingana na Kioni, Gachagua...
Mbunge wa Likoni kaunti ya Mombasa Mishi Mboko ametoa wito kwa Wakenya kujiepusha na mambo maovu pamoja na kauli ambazo huenda zikaichafulia jina taifa la Kenya...