Waziri wa Kilimo, Mutahi Kagwe, amesisitiza umuhimu wa wakulima nchini kukumbatia teknolojia ya kisasa katika shughuli zao za ufugaji, akisema kuwa hiyo ndiyo njia bora ya...
Rais wa Uganda Yoweri Museveni mwenye umri wa miaka 81 ameidhinishwa na tume ya uchaguzi ya nchi hiyo kugombea nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu wa...
Shuguli za masomo zimeendelea kutatizika kwa siku ya saba sasa katika vyuo vikuu vya umma kote nchini kutokana na mgomo wa wahadhiri wa vyuo vikuu uliaonza...
Mbunge wa Kilifi Kaskazini kaunti ya Kilifi Owen Baya amesema kuwa uskwota umekithiri mno katika ukanda wa Pwani. Katika mazungumzo ya kipekee na Meza yetu ya...
Katibu mkuu wa Chama cha UDA Hassan Omar Sarai, imemkosoa Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen kutokana na kuchapisha katika gazeti rasmi la serikali kundi...
Wavuvi wa eneo la Pwani wameitaka serikali kuu na zile za kaunti kuwatafutia masoko ya kimataifa kwa ajili ya bidhaa zao za samaki. Wavuvi hao walisema licha...
Utafiti wa udhibiti wa sekta ya fedha humu nchini uliotolewa na benki kuu ya Kenya unaonyesha kuwa uwekaji mifumo ya kifedha mitandaoni inachangia kwa mchipuko wa...
Wavuvi kutoka maeneo ya uvuvi ya mjini Kilifi waliamkia maandamano hadi nje ya lango la makazi ya Gavana Gideon Mung’aro kwa lengo la kumuona Gavana na...
Serikali ya kaunti ya Kilifi yaendeleza mpango wa kusambaza tani 62.5 za unga wa uji ulioimarishwa kwa virutubisho kwa vituo 813 vya umma vya ECDE, hatua...
Bandari ya Mombasa imepokea meli ya kwanza ya aina yake, MV Grande Shanghai, ambayo imetengenezwa kwa teknolojia ya kisasa inayowezesha kupunguza kwa kiasi kikubwa uchafuzi wa mazingira....