Polisi mjini Mombasa wameanzisha uchunguzi kufuatia kifo cha mshukiwa mmoja aliyefariki muda mfupi baada ya kukamatwa na kupelekwa katika kituo kikuu cha polisi cha Central jijini...
Rais William Ruto amesema kuwa uchumi wa taifa umeimarika hata zaidi tangu alipoingia mamlakani. Akizungumza na vyombo vya habari rais Ruto alidokeza kuwa mwaka wa 2022...
Shughuli za masomo katika vyuo vikuu vya umma nchini zinaendelea kuathirika huku mgomo wa kitaifa wa wahadhiri ukiingia siku ya tatu leo. Katibu mkuu wa chama...
Halmashauri ya bandari nchini KPA imetangaza mpango wa kuboresha huduma katika kivuko cha feri cha Likoni, unaojulikana kama “Traffic Circulation Management Plan” unaolenga kupunguza msongamano, kuongeza usalama, na kuboresha...
Naibu Chifu wa eneo la Sabaki eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi Rachael Malingi amewahimiza kina mama wajawazito kuhakikisha wanafika hospitalini ili kujifungua salama. Akizungumza...
Benki ya KCB kwa ushirikiano na bebki ya Afrexim zimeingia kwenye mkataba wa maelewano unaolenga kutoa usaidizi wa kuwezesha kifedha na kibiashara kwa wawekezaji wanaoendesha shughuli...
Muungano wa Wahadhiri wa vyuo vikuu nchini (UASU) wameanza mgomo wao licha ya Hazina ya kiaifa kutoa shilongi bilioni 2.5 kwa ajili ya kutekeleza awamu ya...
Idara ya Mahakama nchini pamoja na Wanasheria wanaomboleza kifo cha Jaji wa Mahakama ya Rufaa Fredrick Ochieng’ Andago aliyefariki dunia siku ya Jumatano, Septemba 17, 2025 ...
Mahakama ya Kilifi imeagiza mshtakiwa wa kesi ya usafirishaji wa Mihadarati aina ya bangi kuendelea kuzuiliwa rumande wakati kesi hiyo ikiendelea. Akitoa agizo hilo Hakimu wa...
Rais William Ruto amefungua rasmi kituo kipya cha reli cha Miritini kisiwani Mombasa. Katika taarifa yake wakati wa uzinduzi huo Rais Ruto alisema abiria watakuwa wakilipa...