Mamlaka ya kitaifa ya kusimamia barabara kuu nchini KeNHA imesema ujenzi wa barabara kuu ya Mombasa-Kilifi inatarajiwa kukamilika kufikia mwezi Disemba mwaka ujao. Kaimu Mkurugenzi wa...
Mbunge wa Kilifi kaskazini Owen Baya amewataka viongozi wa kaunti ya Kilifi kujukumika katika utendakazi wao na kuangazia changamoto wanazopitia wakaazi. Akizungumza katika kipindi cha Coco...
Rais William Ruto amewataka viongozi wa Afrika kuungana katika kupigia debe mageuzi ya baraza la usalama la umoja wa mataifa. Rais Ruto ambaye yuko mjini New...
Idara ya usalama mjini Malindi katika kaunti ya Kilifi imesema itaendelea kutekeleza oparesheni ya kuwasaka wahalifu wanaoendelea kuhangaisha wakaazi. Mafisa waa usalama walisema kufikia sasa takriban...
Rais William Ruto ameondoka nchini Jumamosi 20, Septemba 2025, kuhudhuria Mkutano Mkuu wa 80 wa Umoja wa Mataifa mjini New York, nchini Marekani. Katika taarifa yake...
Mkurugenzi mkuu wa shirika la World Vision Kenya Geophrey Kativa ameitaka serikali ya kaunti ya Kilifi kusimamia vyema miradi mbali mbali iliyotekelezwa katika eneo la Magarini...
Itikadi za kidini na mafunzo ya kupotisha, sasa zimeanza kupenya katika mazingira ya shule licha ya uovu huo kuonekana katika maeneo ya nyumba za ibada na...
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (ODPP) imehitimisha rasmi kesi yake dhidi ya mauaji ya Shakahola, ambapo Mhubiri tata Paul Mackenzie na wenzake 35 wanakabiliwa...
Rais William Samoei Ruto amezindua malipo ya shilingi bilioni 4.4 kwa ajili ya gharama ya matibabu ya wakenya milioni 2.2 wasiojiweza chini ya mpango wa bima...
Tume ya kitaifa ya huduma ya polisi (NPSC) hatimaye imetangaza usajili wa maafisa 10,000 wa polisi, na kumaliza mzozo wa muda mrefu kati yake na huduma...