Serikali imetangaza mpango wa kuongeza mgao wa mafuta ya Petroli na diseli ya kila mwezi kwa magari ya polisi kutoka lita 450 za sasa hadi lita...
Shirika la kutathmini ubora wa mbegu na ustawishaji wa mimea nchini (KEPHIS), limepinga vikali mswada wa marekebisho ya mbegu na aina za mimea wa mwaka 2025,...
Mbunge wa Ganze katika kaunti ya Kilifi Kenneth Kazungu Tungule amesema baadhi ya wawekezaji katika eneo la Jaribuni kaunti ya Kilifi wanaendelea kufungiwa timbo zahadi watakapokamilisha...
Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu sasa wanataka kukamatwa kwa waziri wa vyama vya ushirika Wycliffe Oparanya kufuatia uamuzi wa mahakama kuu kuwa mkurugenzi mkuu wa...
Ushahidi wa kutisha umeendelea kufichuliwa katika kesi ya mauaji ya Shakahola, ambapo Mhubiri tata Paul Mackenzie na washukiwa wenzake 35 wanakabiliwa na mashtaka mazito ikiwemo ukatili wa...
Naibu Chifu wa Shella mjini Malindi kaunti ya Kilifi Nicodemus Mwayele ametoa wito kwa wenyeji kushirikiana na asasi za usalama ili kuyakabili magenge ya kihalifu ambayo...
Chama cha Chadema nchini Tanzania kimedinda kuendelea na kesi ya uhainini inayomkabili mwenyekiti wake Tundu Lissu hadi pale wanachama na wafuasi wake watakapokuwa wanaruhusiwa kuingia mahakamani....
Vijana humu nchini wamehimizwa kukumbatia ukulima wa bustani ili kujiiinua kiuchumi. Kulingana na Swalehe Joha ambaye anaendeleza kilimo hicho kutumia mitungi, alisema wakulima wanaweza endeleza kilimo bila hata kuwa na...
Upinzani nchini Sudan Kusini ulitoa wito Jumatatu 15, Septemba 2025, wa uhamasishaji wa silaha kufanya “mabadiliko ya serikali” ili kukabiliana na mipango ya kumweka kiongozi wake...
Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen amesisitiza umuhimu wa mbinu ya kuhusisha jamii nzima ili kukabiliana na misimamo mikali ya kidini, akionya kuwa kutegemea polisi...