Watu wawili wanahofiwa kufariki baada ya boti walimokuwa wakisafiria kuelekea eneo la Shanga Kisiwani Patekaunti ya Lamu kuzama bahari hindi kwa siku ya tatu leo. Ibrahim...
Mahakama ya Kilifi imetoa agizo la kukamatwa kwa Wanaume wawili walioshtakiwa kwa kosa la unajisi wa mtoto wa umri wa miaka 14. Akitoa agizo hilo, Hakimu...
Kenya inalenga kubadilisha uhusiano wake wa kiuchumi na Japan kutoka utegemezi wa misaada katika usawa wa kibiashara, mtaji na ubinafsi pamoja na ubunifu. Rais William Ruto...
Senata wa kaunti ya Mombasa Mohammed Faki ameitaka idara ya mahakama kuanzisha rasmi huduma za mahakama ya kadhi katika mahakama ya Shanzu kama njia moja ya...
Maiti tano zimefukuliwa kutoka eneo la kwa Binzaro kaunti ya Kilifi, siku ya kwanza ya zoezi la kufukua maiti eneo hilo. Maafisa wa upelelezi wanaohusika na...
Wakaazi wanaoishi katika vijiji vya Mitsemereni, Goshi na Kavunzoni katika wadi ya Bamba eneo bunge la Ganze kaunti ya Kilifi wanalia ngoa kutokana na changamoto za...
Shughuli ya kuyafukua makaburi eneo la Kwa Binzaro katika eneo la Chakama kaunti ya Kilifi imeanza rasmi siku ya Alhamisi Agosti 21, 2025. Ufukuzi huo ulicheleweshwa...
Wakaazi wa eneo la Mariani wadi ya Adu eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi wanaitaka serikali ya kaunti ya Kilifi kukamilisha mradi wa maji ulioanzishwa...
Mamlaka ya Afya ya Kijamii (SHA) inasema imetoa shilingi bilioni 3.4 kwa vituo vya afya kote nchini ili kulipa madeni chini ya Hazina ya Bima ya Afya...
Kinara wa Chama cha DCP Rigathi Gachagua amewasili nchini Kenya baada ya ziara yake ndefu nchini Marekani. Vurugu zilishuhudiwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa...