Vuguvugu la kupinga mahusiano ya jinsia moja mjini Mombasa limelalamikia bondi wanazopewa washukiwa wa kesi za ulawiti, wakisema pesa hizo huwa ni chache mno hali ambayo...
Huduma za matibabu katika hospitali na zahanati za umma kaunti ya Kilifi zimerejea kama kawaida baada ya wauguzi waliokuwa katika mgomo kusitisha mgomo wao rasmi. Hii...
Eneo la Rabai kaunti ya Kilifi ndio eneo linaloongoza katika kaunti nzima ya Kilifi na idadi kubwa ya watoto ambao hawajapokea chanjo yoyote inayochanjwa watoto. Haya...
Mbunge wa Changamwe Omar Mwinyi amewakosoa magavana nchini, akisema wameshindwa kuwajibikia majukumu yao ipasavyo katika kaunti zao. Mwinyi ambaye alikuwa akizungumza katika eneo la Portreiz eneo...
Kamati ya bunge la seneti kuhusu masuala ya Ardhi, Mazingira na maliasili imeilaumu Wizara ya Ardhi nchini kwa kutowasilisha stakabadhi za ardhi za kaunti ya Kilifi...
Serikali ya Kenya na Uganda zimeafikia azimio la ushirikiano ili kuboresha sekta ya utalii kwa kuuza sifa za vivutio vya utalii kupitia mfumo wa teknolojia na...
Rais William Ruto amebuni jopokazi la pamoja linaloshirikisha idara mbalimbali nchini na mashirika ya kiserikali ili kupiga jeki vita dhidi ya ufisadi nchini. Jopokazi hilo linahusisha...
Serikali imetangaza kwamba bodi ya mikopo ya elimu ya juu nchini HELB imesambaza shilingi bilioni 9.46 kwa wanafunzi 309,178 wa vyuo vikuu kote nchini. Waziri wa...
Wakaazi wa eneo la Chumani, Wadi ya Matsangoni Kaunti ya Kilifi, wameandamana kulalamikia kucheleweshwa kwa ujenzi wa barabara ya Malindi-Mombasa, wakidai kwamba barabara hiyo imekuwa hatari...
Sherehe za kitamaduni za Chenda chenda za Makaya Tisa katika ukanda wea Pwani ambazo hufanyika kila mwaka, zimeratibiwa kufanyaika katika kaunti ya Kwale mwaka huu. Kikao...