Bunge la seneti limetangaza kwamba siku ya Jumatano Agosti 20, 2025 litakuwa na kikao maalum cha bunge ili kujadili hoja mbili muhimu kwa kuambatana na sera...
Wakulima wa korosho eneo la pwani wanalalamikia mazao duni kutokana na uvamizi wa wadudu kwenye mimea yao. Kulingana na wakulima hao, mmea huo ulivamiwa na wadudu...
Mkufunzi wa mchezo wa soka kaunti ya Mombasa Mbarak Swaleh maarufu Coaches amefikishwa katika Mahakamani ya Mombasa akikabiliwa na kosa la ulawiti wa mtoto wa kiume...
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA, Tundu Lissu, imezuiwa kurushwa mubashara au kuchapishwa taarifa za ushahidi baada ya Mahakama kutoa...
Rais William Samoei Ruto pamoja na Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga wameongoza kikao cha pamoja cha wabunge wa chama ODM na UDA katika eneo...
Kamati ya habari na mawasiliano bungeni ikiongozwa na mwenyekiti Wahome Wamatinga imefanya ziara yake katika uwanja wa maonyesho ya kilimo eneo la Nyali kaunti ya Mombasa....
Gavana wa kaunti ya Kericho Eric Mutai amebanduliwa mamlakani kupitia hoja ya kutokuwa na Imani naye. Jumla ya Wawakilishi wadi 33 kati ya 47 wa bunge...
Rais William Ruto amefanya uteuzi mpya na kumteua Claris Awour Onganga kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kitaifa ya kutetea haki za kibinadamu KNCHR. Onganga anachukua nafasi...
Mwanasayansi na mkurugenzi mkuu wa shirika la kaungazia masuala ya Ndovu Jim Justus Nyamu pamoja na wanaharakati wa masuala ya wanyamapori wametoa wito kwa serikali pamoja...
Naibu gavana wa kaunti ya Taita Taveta Christine Kilalo amewataka wenyeji kuimarisha mazingira kwa kudhibiti utupaji wa taka kiholela hasa katika maeneo ya Taveta na Voi....