Jamii ya wadigo katika kaunti ya Kwale imejitokeza na kuikosoa serikali dhidi ya kauli yake kwamba kuna tetesi za kuzuka kwa vuguvugu la Mombasa Repubilican Council...
Baadhi ya Wavuvi katika kaunti ya Kwale wamelalamikia hatua iliyochukuwa na kamati ya ukusanyaji maoni ya umma kuhusu mswada wa usimamizi na maendeleo ya uvuvi. Wavuvi...
Mkufunzi wa kilabu ya Kenya Police Bullets, Beldine Odemba, amesema timu yake iko tayari kupambana hadi mwisho na kutwaa ubingwa wa CECAFA Qualifiers za Ligi ya...
Kila kitu kimekamilika kwa Mashindano ya Golf ya SportsBiz Africa,makala ya tano ya Sunshine Development Tour East Africa Swing, yanayoanza leo katika Kigali Golf Resort &...
Mwakilishi wa wadi ya Mbololo kaunti ya Taita taveta Lawrence Mzugha ametoa wito kwa vijana katika eneo hilo kuzingatia elimu. Kulingana na Mzugha kuna nafasi nyingi...