Serikali inasema itawachukulia hatua walimu ambao walikosa kuweka wazi idadi ya wanafunzi shuleni mwao, ikibaini kwamba shule za humu nchini zina wanafunzi hewa laki tisa. Wizara...
Mahakama Kuu imesimamisha kwa muda agizo la kuondolewa afisini kwa Katibu Mkuu wa chama cha ODM Edwin Sifuna. Katika uamuzi uliotolewa Alhamis 12 2026, Mahakama ilitoa...
Bingwa wa toleo la 35 la mbio za Discovery Cross Country zilizofanyika Eldoret, kaunti ya Uasin Gishu, Maryam Lufti Njoki, anatarajiwa kurejea katika mashindano ya Sirikwa...
Serikali ya kitaifa imepanga kupanua mradi wa kilimo cha chakula wa Galana Kulalu kama sehemu ya juhudi za kuimarisha usalama wa chakula nchini ili kusaidia zaidi...
Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna ametimuliwa kutoka wadhifa wake kama Katibu mkuu wa Chama cha ODM na nafasi yake kuchukuliwa na Catherine Omanyo. Uamuzi huu umeafikiwa...